Sunday, November 20, 2016

ZANZIBAR YAONGOZA KWA TALAKA


HUU NI MSIBA MKUBWA SANA.
Ndugu zanguni,
Hiki kisiwa "ZANZIBAR" ambacho kwa sasa kinaongoza kwa UKIMWI "AIDS/HIV" vile vile kimekumbwa na wimbi kubwa la talaka.
Inashangaza kisiwa hiki chenye asilimia 99.99 Waislam kuongoza kwa TALAKA huku wakiwa na ruhusa ya kuoa wake 4.
Ndio maana huwa nasema, maisha ya kiislam ni usanii. Zanzibar inatoa talaka 2400 kwa mwaka. Hizi ni talaka zinaeleweka na Serikali, ingawa kuna zaidi ya Talaka elfu kumi zakiislam zinafanywa kila mwaka huko Zanzibar.
NATANGULIZA POLE YANGU KWA WAISLAM WOTE. KUMBE UISLAM AMBAO NI UNYEYEKEVU SIO MALI KITU.
Ni mi i Max Shimba Mtumwa wa Yesu Kristo.

No comments:

Jesus said to Thomas that HE IS THE LIVING GOD

John 14 ► Peshitta Holy Bible Translated Verse 5 and 6 Thoma said to him, “Our Lord, we do not know where you are going and how can we know ...

TRENDING NOW