Wednesday, November 16, 2016

UFARANSA YAFUNGA MISIKITI 2500 KWA KUHUSIKA NA UGAIDI


Ufaransa imefunga Misikiti 2500 yenye kufundisha chuki na kuchochea ugaidi.
Serikali ya Ufaransa imesema kuwa, hawata ruhusu chuki kufundishwa na Waislam wenye siasa kali. Hayo yalisemwa na Cazeneuve.
Tangazo hili lilitolewa baada ya Waziri Mkuu wa Ufaransa kuzuia misaada iliyo kuwa inaelekezwa kwenye hiyo Misikiti. Misaada hiyo ilikuwa inatoka nchi za Morocco, Algeria na Saudi Arabia.
Kwa habari kamili ingia hapa
.

No comments:

Jesus said to Thomas that HE IS THE LIVING GOD

John 14 ► Peshitta Holy Bible Translated Verse 5 and 6 Thoma said to him, “Our Lord, we do not know where you are going and how can we know ...

TRENDING NOW