Friday, December 7, 2018

MUHAMMAD ALIVUNJA AMRI KUMI ZA MUNGU (SEHEMU YA NNE)

Image may contain: 1 person, text
Kitabu cha Kutoka 20:8. Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.

MUHAMMAD BIN AMINA ALIVUNJA AMRI KUU KUHUSU SABATO

WAISLAM WANAO VUNJA SABATO NI WADHALILIFU NA WATAGEUZWA MANYANI

Tusome aya ya Allah:

AL - BAQARA 65: Na hakika mlikwisha yajua ya wale miongoni mwenu walio ivunja Sabato, (siku ya mapumziko, Jumaa Mosi) na tukawaambia: Kuweni manyani wadhalilifu.

Kama Allah anajua kuwa Siku ya Jumamosi ni ya mapunziko, iweje Waislam wa leo hawapumziki siku ya Jumamosi?

Kwanini Waislam wamekataa kuitunza Jumamosi?

Shalom,

Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

No comments:

Jesus said to Thomas that HE IS THE LIVING GOD

John 14 ► Peshitta Holy Bible Translated Verse 5 and 6 Thoma said to him, “Our Lord, we do not know where you are going and how can we know ...

TRENDING NOW