Tuesday, May 29, 2018

USTAADH AMOUD KYABUSHUKURU AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA 60 KWA KULAWITI MTOTO MSIKITINI


Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Bukoba imemuhukumu Ustaadh Amoud Kyabushukuru kifungo cha miaka 60 baada ya kukutwa na hatia ya kumbaka na kumlawiti mtoto mdogo wa kike aliye kuwa akimfundisha Quran Msiktini.
Je, tuendelee kuwaamini hawa viongozi wetu wa dini wanao lawiti watoto wetu?

No comments:

Jesus said to Thomas that HE IS THE LIVING GOD

John 14 ► Peshitta Holy Bible Translated Verse 5 and 6 Thoma said to him, “Our Lord, we do not know where you are going and how can we know ...

TRENDING NOW