Sunday, September 10, 2017

MAANDIKO YA MAOMBI YA UPONYAJI

Image may contain: text
1. Zaburi 91:16 Kwa siku nyingi nitamshibisha, Nami nitamwonyesha wokovu wangu.
2. Zaburi 103:3 Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana, Wala usizisahau fadhili zake zote.
Akusamehe maovu yako yote, Akuponya magonjwa yako yote
3. Yeremia 30:17 Maana nitakurudishia afya, nami nitakuponya jeraha zako, asema Bwana, kwa sababu wamekuita, mwenye kutupwa, wakisema, Ni Sayuni, ambao hapana mtu autakaye.
4. Zaburi 118:17 Sitakufa bali nitaishi, Nami nitayasimulia matendo ya Bwana.
5. Yohana 10:10 Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu; mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele.
6. Zaburi 107:20 Hulituma neno lake, huwaponya, Huwatoa katika maangamizo yao.

No comments:

Jesus said to Thomas that HE IS THE LIVING GOD

John 14 ► Peshitta Holy Bible Translated Verse 5 and 6 Thoma said to him, “Our Lord, we do not know where you are going and how can we know ...

TRENDING NOW