Sunday, August 6, 2017

WAKRISTO 27 WAFUKUZWA SAUDI ARABIA KWA KOSA LA KUWA NA BIBLIA

Image may contain: 2 people, people sitting
Wakristo 27 wamefukuzwa nchini Saudi Arabia baada ya kukutwa na Biblia nyumbani kwao.
Kabla ya kufukuzwa na kurudishwa kwao, Wakristo hao walihukumiwa kwa kosa la kufanya ibada ambayo sio ya Kiislamu.
Askari wa Kidini wa Saudi Arabia katika eneo la Al-Aziziyah huko Mecca walithibitisha kukamatwa kwa hao Wakristo huku wakiwa katika ibada ambayo si ya Kiislamu.
Saudi Arabia ndio nchi yenye sheria kali za kidini na yenye chuki kubwa kwa Wakristo na Ukristo.

No comments:

Jesus said to Thomas that HE IS THE LIVING GOD

John 14 ► Peshitta Holy Bible Translated Verse 5 and 6 Thoma said to him, “Our Lord, we do not know where you are going and how can we know ...

TRENDING NOW