Friday, July 14, 2017

MSIKITI MPYA WAFUNGULIWA UJERUMANI IMAM NI MWANAMKE

Image may contain: one or more people and people standing


Labda kwa yule ambae hana khabari, huu ni msikiti uitwao Ibn Rushd-Goethe huko Berlin Ujerumani.
Ni msikiti mpya unaojumuisha wanawake na wanaume pamoja.
Juzi ijumaa ndo umefunguliwa rasmi na ibada zitakuwa zinaendelea kwa mtindo huohuo.
Imam wa msikiti huu ni mwanamke kwa jina anaitwa Ani Zonneveld,
Wakati wa ufunguzi wamealikwa baadhi ya viongozi wa kidini wa kiyahudi na kinasara ili kushuhudia rasmi ufunguzi huo.
Aliskika imaam huyo mwanamama akitoa hutbah....
Haya ni masikitiko kwa hakika

No comments:

Why I Left Islam for Christianity: The Transformational Journey of Abou Hamza Hussain

  **Why I Left Islam for Christianity: The Transformational Journey of Abou Hamza Hussain**   My name is Abou Hamza Hussain. I was born in K...

TRENDING NOW