Friday, July 21, 2017

MA-IMAMU WAMEBAKA WASICHANA WAWILI NA KUWASABABISHIA MAUMIVU MAKALI

Image may contain: 2 people, people standing


Lagos, Nigeria:
Maimamu wawili Kamaledeen Alade na Hammed Adebayo walifikishwa mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya juu ya Lagos kwa kosa la kubaka wasichana wenye umri wa miaka 14 na 16.
‎Watuhumiwa Alade, 32, na Adebayo 27 wanashitakiwa kwa makosa manne "charge of conspiracy, rape, sexual penetration and application of charm".
Kiongozi wa Mashitaka Sajenti Anthonia Osayande aliiAmbia Mahakama kuwa Alade alikuwa ni mwanzilishi wa kikundi cha kufundisha Quran, wakati Adebayo alikuwa msaidizi wa Alade na mwalimu msaidizi wa kufundishi Quran.
Sajenti Osayande alisema kuwa Watuhumiwa walifanya makosa hayo wakiwa kwenye nyumba namba 24 iliyopo Mtaa wa Amosun, Sari- Iganmu siku ya July 11 saa 4 na dakika 5 asubuhi.

No comments:

Jesus said to Thomas that HE IS THE LIVING GOD

John 14 ► Peshitta Holy Bible Translated Verse 5 and 6 Thoma said to him, “Our Lord, we do not know where you are going and how can we know ...

TRENDING NOW