Friday, July 21, 2017

MA-IMAMU WAMEBAKA WASICHANA WAWILI NA KUWASABABISHIA MAUMIVU MAKALI

Image may contain: 2 people, people standing


Lagos, Nigeria:
Maimamu wawili Kamaledeen Alade na Hammed Adebayo walifikishwa mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya juu ya Lagos kwa kosa la kubaka wasichana wenye umri wa miaka 14 na 16.
‎Watuhumiwa Alade, 32, na Adebayo 27 wanashitakiwa kwa makosa manne "charge of conspiracy, rape, sexual penetration and application of charm".
Kiongozi wa Mashitaka Sajenti Anthonia Osayande aliiAmbia Mahakama kuwa Alade alikuwa ni mwanzilishi wa kikundi cha kufundisha Quran, wakati Adebayo alikuwa msaidizi wa Alade na mwalimu msaidizi wa kufundishi Quran.
Sajenti Osayande alisema kuwa Watuhumiwa walifanya makosa hayo wakiwa kwenye nyumba namba 24 iliyopo Mtaa wa Amosun, Sari- Iganmu siku ya July 11 saa 4 na dakika 5 asubuhi.

No comments:

Muhammad’s Fear Of Judgment Day

  Muslims beware! The next  eclipse  could be the  Day of Judgment .  This warning comes from none other than Muhammad himself. During the l...

TRENDING NOW