Thursday, July 27, 2017

ALLAH AMETEREMSHA AYA NA KUSEMA KUWA UISLAM NI DINI CHAFU

Image may contain: 3 people


ALLAH ANAMUOMBA MUHAMMAD AMSAFISHIE DINI. KUMBE DINI YA ALLAH INATAKIWA KUSAFISHWA
Sema (Ewe Muhammad): Hakika Mimi nimeamrishwa nimuabudu Mwenyezi Mungu, kwa kumsafishia Dini Yeye ( tu ). Na nimeamrishwa niwe wa kwanza wa wale ambao ni Waislamu ( kujisalimisha kwake ). S. 39:11-12 Pickthall http://www.quranitukufu.net/039.html
Huu ni msiba mwingine kwa Allah, sasa kwenye Surah ya 39 aya 11-12 Allah anamwomba Muhammad amsafishie dini ya Uislam, sasa tuwaulize Waislam.
KWANI UISLAM ULICHAFUKA LINI MPAKA ALLAH AMUOMBE MUHAMMAD KUMSAFISHIA DINI?
Waislam, tuleteeni aya ambayo inathibitisha kuwa Muhammad aliisafisha dini ya Allah?
Waislam, kwanini Allah alimuomba Muhammad kuisafisha dini?
Kwanini Allah alishindwa kuisafisha dini yake?

No comments:

Jesus said to Thomas that HE IS THE LIVING GOD

John 14 ► Peshitta Holy Bible Translated Verse 5 and 6 Thoma said to him, “Our Lord, we do not know where you are going and how can we know ...

TRENDING NOW