Tuesday, March 14, 2017

MUNGU ALILINUNUA KANISA KWA DAMU YAKE MWENYEWE

Image may contain: text
''Matendo 20:28 inatuambia, “…Muwe wachungaji wa Kanisa la Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe,”
Ni nani aliyelinunua kanisa kwa damu yake mwenyewe?
Yesu Kristo. Matendo 20:28 inasema ya kwamba Mungu alilinunua Kanisa kwa damu yake mwenyewe. Kwa hivyo Yesu ni Mungu!
Yohana 1:1 inasema “Neno alikuwa Mungu”. Yohana 1:14 inasema “Neno akafanyika mwili.” Hii inaonyesha wazi ya kwamba Yesu ni Mungu katika mwili.
Kumbe basi KANISA NI LA MUNGU .
Shalom
Max Shimba Mtuwa wa Yesu Kristo.

No comments:

Why I Left Islam for Christianity: The Transformational Journey of Abou Hamza Hussain

  **Why I Left Islam for Christianity: The Transformational Journey of Abou Hamza Hussain**   My name is Abou Hamza Hussain. I was born in K...

TRENDING NOW