Wednesday, February 8, 2017

Ikiwa Issa ndio Yesu wapi ndani ya Quran kanzu ya Issa ilipigwa kura/MNADA?

Yohana 19:23 Nao askari walipomsulubisha Yesu, waliyatwaa mavazi yake,wakafanya mafungu manne, kwa kila askari fungu lake, na kanzu nayo. basi kanzu ile haikushonwa, ilikuwa imefumwa yote pia tangu juu. 24 Basi wakaambiana, tusiipasue, lakini tuipigie kura, iwe ya nani.ili litimie andiko lile linenalo, waligawanya nguo zangu, na vazi langu wakalipigia kura. basi ndivyo walivyofanya wale askari. 

Swali ni hii,ikiwa Issa ndio Yesu wapi ndani ya Quran kanzu ya Issa ilipigwa kura/MNADA?

Image may contain: 2 people, people standing

No comments:

Jesus said to Thomas that HE IS THE LIVING GOD

John 14 ► Peshitta Holy Bible Translated Verse 5 and 6 Thoma said to him, “Our Lord, we do not know where you are going and how can we know ...

TRENDING NOW