Tuesday, December 20, 2016

UDHAIFU WA DINI YA KIISLAM


1. Waislam hawana Kitabu cha Taurat.
2. Waislam hawana Kitabu cha Zaburi.
3. Waislam hawana Kitabu cha Injili.

Kama kuna Muuislam anaye bisha, basi nileteeni nakala ya hivyo vitabu vilivyo kuwepo kabla ya Quran.
Mkinipa nakala ambayo Allah anadai aliteremsha kwa Musa au Daudi au Yesu, basi leo hii MIMI MAX SHIMBA NITASILIMU NA KUWA MUISLAM.

Kumbuka mimi sina muda na aya zenu za Quran maana Quran ilikuja baadae. Mimi mniletee nakala ya hivyo vitabu kabla ya kuzaliwa Muhammad.
NATAKA KUSILIMU.

Shalom
Dr. Max Shimba mtumwa wa Yesu Kristo Mungu Mkuu. Tito 2:13

No comments:

Jesus said to Thomas that HE IS THE LIVING GOD

John 14 ► Peshitta Holy Bible Translated Verse 5 and 6 Thoma said to him, “Our Lord, we do not know where you are going and how can we know ...

TRENDING NOW