Saturday, December 17, 2016

QURAN ZAIDI YA ELFU TANO ZACHOMWA MOTO IRAQ.

No automatic alt text available.
Habari mbaya kwa wafuasi wa Muhammad ambao wanasema kuwa Quran haichomeki walipigwa na butwaa baada ya kuona nakala zaidi ya elfu 5 za Quran zikiteketea kwa moto na kuwa masizi.
Suleiman al-Kubaisi alisema kuwa nakala hizo zilichomwa moto kwenye mpaka wa Alwaleed port ulipo Iraq na Syria.
Gazeti la Raialyoum "http://www.raialyoum.com" lilisema kuwa, nakala zingine zaidi ya 1280 zilitupwa jalalani.
Wataalam wa dini nchini Iraq wameanza kutabiri kuwa labda Uislam unakaribia mwisho wake.

No comments:

Jesus said to Thomas that HE IS THE LIVING GOD

John 14 ► Peshitta Holy Bible Translated Verse 5 and 6 Thoma said to him, “Our Lord, we do not know where you are going and how can we know ...

TRENDING NOW