Monday, November 21, 2016

YESU HAKUWA MUISLAM (SEHEMU YA PILI)


YESU HAKUWAI MWABUDU ALLAH
Yesu hakuwai kuomba na au kumwabudu “Allah”, lakini kutokana na Biblia, Yesu aliomba kwa Baba yake, Yohana 17:1 Maneno hayo aliyasema Yesu; akainua macho yake kuelekea mbinguni, akasema, Baba, saa imekwisha kufika. Mtukuze Mwanao, ili Mwana wako naye akutukuze wewe. Koran na Uislam unakiri kuwa Allah si Baba na hakuna hata aya moja inayo mwita Allah Baba. Yesu hakuwa Muislam.
YESU NI MUNGU.

No comments:

Jesus said to Thomas that HE IS THE LIVING GOD

John 14 ► Peshitta Holy Bible Translated Verse 5 and 6 Thoma said to him, “Our Lord, we do not know where you are going and how can we know ...

TRENDING NOW