Tuesday, September 27, 2016

IMAMU AMBAKA MVULANA WA MIAKA 11 NA KUMLAUMU SHETANI




Imamu mwenye tabia mbaya wa Msikiti wa Rugby alimbaka mvulana mdogo wakati akimfudsha Quran ndani ya Msikiti na kukimbia nchi.
Imamu Noor Walile (miaka 38) ambaye alikuwa anafanya kazi kwenye huo msikiti, moja ya majukumu yake ilikuwa ni kufundisha Quran kwa watoto wadogo.
Mvulana (Jina limeifadhiwa) alisema kuwa siku ya tukio alikwenda Msikitini kusoma Quran lakini alipo fika Msikitini Imamu Walile alimnyemelea nyuma na kumbaka na kumsababisha maumivu makali.

No comments:

Jesus said to Thomas that HE IS THE LIVING GOD

John 14 ► Peshitta Holy Bible Translated Verse 5 and 6 Thoma said to him, “Our Lord, we do not know where you are going and how can we know ...

TRENDING NOW