Wednesday, August 10, 2016

KIJIJI KIZIMA HUKO UFILIPINO CHA OKOKA NA KUWA WAKRISTO



Habari kutoka "Christian Aid Mission" zinasema kuwa Kijiji cha Mindanao chenye Kabila la Manobo kilicho Kaskazini ya Filipino kimegeuka na kuwa Kanisa.
Baada ya kuangalia sinema ya Passion of Christ, wanakijiji wa Mindanao walimpokea Yesu na kuwa Wakristo.
Mavuno ni mengi sana na Yesu anaendelea kuokoa vijiji kwa vijiji.

No comments:

Why I Left Islam for Christianity: The Transformational Journey of Abou Hamza Hussain

  **Why I Left Islam for Christianity: The Transformational Journey of Abou Hamza Hussain**   My name is Abou Hamza Hussain. I was born in K...

TRENDING NOW