Thursday, May 26, 2016

WATU MILIONI MOJA WAHUDHURIA MKUTANO WA INJIRI INDIA


MAELFU WAOKOKA NA KUMPOKEA YESU KRISTO
Yesu bado anaendelea kuokoa watu kwa maelfu kila siku. Huko India katika mji wa Gujarat, India, watu karibia Milioni Moja wamehudhuria mkutano wa Injiri. Maelfu kwa Maelfu wameokoka na kuwa Wakristo.
Hakika Yesu yupo hai na anawapenda wote. Huu ni ushuhuda tosha kuwa Yesu ni Bwana wa Mabwana

No comments:

Jesus said to Thomas that HE IS THE LIVING GOD

John 14 ► Peshitta Holy Bible Translated Verse 5 and 6 Thoma said to him, “Our Lord, we do not know where you are going and how can we know ...

TRENDING NOW