Friday, May 27, 2016

WAISLAM WA WAPAKISTANI ELFU KUMI (10,000) WAMPOKEA YESU KWA USIKU MMOJA

Mchungaji ANWAR FAZAL wa Kanisa la Eternal Life Ministries huko Pakistani amefanya mkutano wa uponyaji katika Kitongoji cha Lahore na kuwaongoza WAISLAM ELFU KUMI KWA USIKU MMOJA.
Habari zinasema kuwa, baada ya Wiki moja ya huo Mkutano wa Uponyaji, WAISLAM LAKI MOJA NA NUSU (150,000) Walimpokea Yesu na kuachana na dini ya UISLAM. WAISLAM HAO WOTE WAMEMKIRI YESU NA KUSEMA HAKIKA Allah na Mtume wake Muhammad wote ni BANDIA.
HAYA NI MAVUNO MAKUBWA SANA KWENYE NCHI YA KIISLAM KAMA PAKISTANI.

No comments:

Jesus said to Thomas that HE IS THE LIVING GOD

John 14 ► Peshitta Holy Bible Translated Verse 5 and 6 Thoma said to him, “Our Lord, we do not know where you are going and how can we know ...

TRENDING NOW