Sunday, December 1, 2013

MTUME PAULO AENDA UARABUNI BAADA YA KUOKOKA


Kufuatana na kitabu cha Wagalatia, Mtume Paulo baada ya kuokoka alikwenda Uarabuni. Hebu tuisome Biblia kwa ushaidi yakinifu:

Wagalatia1: 17wala sikupanda kwenda Yerusalemu kwa hao waliokuwa mitume kabla 
yangu, bali nilikwenda mara moja Arabuni na kisha nikarudi Dameski.

Kwanini Mtume Paulo alikwenda Urabauni baada ya kuokoka?

Mtume Paulo alikwenda kufanya nini Uarabuni?

Ndugu Wasomaji, Ukumbi ni wenu kujadili.

Max Shimba Ministries

No comments:

Jesus said to Thomas that HE IS THE LIVING GOD

John 14 ► Peshitta Holy Bible Translated Verse 5 and 6 Thoma said to him, “Our Lord, we do not know where you are going and how can we know ...

TRENDING NOW