Sunday, December 1, 2013
MTUME PAULO AENDA UARABUNI BAADA YA KUOKOKA
Kufuatana na kitabu cha Wagalatia, Mtume Paulo baada ya kuokoka alikwenda Uarabuni. Hebu tuisome Biblia kwa ushaidi yakinifu:
Wagalatia1: 17wala sikupanda kwenda Yerusalemu kwa hao waliokuwa mitume kabla
yangu, bali nilikwenda mara moja Arabuni na kisha nikarudi Dameski.
Kwanini Mtume Paulo alikwenda Urabauni baada ya kuokoka?
Mtume Paulo alikwenda kufanya nini Uarabuni?
Ndugu Wasomaji, Ukumbi ni wenu kujadili.
Max Shimba Ministries
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Jesus said to Thomas that HE IS THE LIVING GOD
John 14 ► Peshitta Holy Bible Translated Verse 5 and 6 Thoma said to him, “Our Lord, we do not know where you are going and how can we know ...
TRENDING NOW
-
Baba umenipa funguo muhimu katika Mathayo 16:19 za kufunga na kufungua. Ninatumia funguo hizo kufunga na kufungua, kuvunja na kubamiza kil...
-
Kuna watu wanapitia mateso mengi sana, wengine wamefungwa katika vifungo bila wao kujijuwa basi chukua muongozo huu utakusaidia au itasaid...
-
Adui anakuja kuiba, kuua na kuharibu kila kitu chetu, ni lazima kuwa tayari kupambana na maadui, tujue silaha zetu, na kutumia neno la Mun...
-
Twakusalimu kwa mara ingine katika jina tukufu na takatifu la Yesu Kristo Bwana wetu. Twazidi pia kukushukuru kwa ajili ...
No comments:
Post a Comment