Wednesday, July 31, 2013

Sura Al-Shura 42:40


Let evil be rewarded with like evil. But he that forgives and seeks reconcilement shall be rewarded by Allah.

Aya hii inamaanisha kuwa yule anayemwamini Allah akitendewa uovu basi anatakiwa alipe uovu, lakini akisamehe atapata thawabu!

Maswali:

1. Kama aliyetenda uovu anakuwa ametenda jambo baya ambalo halitakiwi na halikubaliki, iweje lile la mlipa kisasi litakiwe na kukubalika? Huku si kujikanganya?
2. Lakini hapo hapo, Allah anasema kuwa mwislamu anayesamehe na kusaka maelewano atapata thawabu kutoka kwa Allah. Unawezaje kukubali vitu viwili vinavyopingana? Kwa mfano, unawezaje kusema kuwa, mtu akikutukana, nawe ukimtukana ni sawa; na usipomtukana ni sawa!
3. Kikubwa kuliko chenzake ni kipi hapa sasa? Je, ni kulipa kisasi au kusamehe? Mbona mambo yenyewe hata hayafanani? Yanawezaje kwenda pamoja?

No comments:

Jesus said to Thomas that HE IS THE LIVING GOD

John 14 ► Peshitta Holy Bible Translated Verse 5 and 6 Thoma said to him, “Our Lord, we do not know where you are going and how can we know ...

TRENDING NOW